Unknown Unknown Author
Title: WATU WAWILI WAKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA KIZUIZI CHA NANGURUKURU WILAYA KILWA, MKOA WA LINDI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Hapo jana tarehe 07/02/2015 majira ya Saa 11.50 usiku Askari polisi wa Kizuizi cha Nangurukuru wakiwa katika Doria  walifanikiwa kulikam...
Lindiyetu Blog News
Hapo jana tarehe 07/02/2015 majira ya Saa 11.50 usiku Askari polisi wa Kizuizi cha Nangurukuru wakiwa katika Doria  walifanikiwa kulikamata Gari lenye Namba za usajili UAU 789 Z likiwa na Madawa ya Kulevya aina ya HEROINE zinazokadiriwa kuwa Kilo 40 zikiwa zimehifadhiwa Ndani ya Gari hilo kwenye Paketi 40 zenye ujazo wa Kilo moja Kila moja. 
Watuhumiwa wanaoshikiliwa na Polisi ni TUKURE ALLY, (55yrs) kabila Nyakole Dini Muislam Rais wa Uganda, wapili ni Sano Sadiki Abubakari (53yrs) Kabila Mandunguu Dini Muislam Mkazi wa Kampala Raia wa Gunie. Watuhumiwa hao wanashikiliwa na Jeshi la Polisi.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top