TAZAMA PICHA JINSI MABINGWA WA AFCON 2015 IVORY COAST WALIVYOPOKELEWA MJINI ABIDJAN

Timu ya taifa ya Ivory Coast iliyotwaa kombe la mabingwa wa Afrika, AFCON 2015, imepokelewa na mamia kwa maelfu ya mashabiki waliokusanyika kwenye uwanja wa ndege na mitaa mbalimbali ya mji mkuu wa kibiashara wa nchi hiyo Abidjan kuwakaribisha nyumbani.
Timu ya taifa ya Ivory Coast ilivyopokelewa AbidjanRais wa Ivory Coast, Alassane Outtara akiwa na nahodha wa Ivory Coast Yaya Toure
Rais wa Ivory Coast Alassane Outtara alitangaza siku ya Jumatatu kuwa ya mapumziko kufuatia ushindi wa Ivory Coast kwenye fainali dhidi ya Ghana nchini Equatorial Guinea.
Timu ya taifa ya Ivory Coast ilivyopokelewa AbidjanNahodha Yaya Toure akilionyesha kombe baada ya kuwasili mjini Abidjan
Timu ya taifa ya Ivory Coast ilivyopokelewa AbidjanMashabiki walivyowakaribisha washindi wa AFCON 2015
Timu ya taifa ya Ivory Coast ilivyopokelewa Abidjan

Timu ya taifa ya Ivory Coast ilivyopokelewa Abidjan

Timu ya taifa ya Ivory Coast ilivyopokelewa Abidjan

Timu ya taifa ya Ivory Coast ilivyopokelewa Abidjan

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post