Unknown Unknown Author
Title: BREAKING NEWS: MOTO MKUBWA JIJINI DAR WAUNGUZA GHOROFA!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Moshi mkubwa ukiwa umetanda katika paa la jengo hilo lililopo katika mtaa wa Jamhuri jijini Dar. Dar es Salaam, Tanzania. Moto mkub...
Ajali ya moto
Moshi mkubwa ukiwa umetanda katika paa la jengo hilo lililopo katika mtaa wa Jamhuri jijini Dar.

Dar es Salaam, Tanzania. Moto mkubwa umezuka hivi punde katika nyumba iliyopo Mtaa wa Jamhuri na Mosque jijini Dar es Salaam na kuteketeza mali mbalimbali.

Taarifa za awali zinaeleza bado chanzo cha moto huo hakijafahamika. Tayari polisi wa zimamoto wamewasili eneo la tukio katika Mtaa wa Jamhuri na Mosque. Pia, askari wa Jeshi la Polisi wamewasili katika eneo la tukio. Eneo la tukio baadhi ya mashuhuda sasa wanaokoa gari moja ambalo lipo karibu na nyumba inayoteketea.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top