Leo hii naongea nanyi nikiwa Baba, Mume, Mwandishi Mwandamizi, Blogger, na mengine mengi, lakini hali yangu sasa inaanza kunikwaza.
Haya mauaji jamani, nimejiteua kuwa Balozi, nitatetea, na kusimama mbele ya wenzangu wote wenye hali kama hii, kama ni wanasiasa ama wafanyabiashara, wanataka kutuua kwa maslahi binafsi, mwaka huu HAPANA.
Wanaoniunga mkono mikono juu" Mwisho wa kunukuu.
Nikiwa kama Blogger na Mwanahabari, Henry Mdimu aliejitolea kuwa Balozi, nanyoosha mkono juu kwa kuunga mkono kupiga vita vikali mauaji ya ndugu zetu wenye Albinism. kwani wao pia ni Binadamu kama tulivyo mimi na wewe.
LINDIYETU BLOG NA UONGOZI WAKE WOTE UKIONGOZWA NA ABDUL AZIZ UMENYANYUA MIKONO JUU KUUNGANA NAWE ZEE LA NYETI.
JAMANI SASA BASI, NA KILA MMOJA WETU AWE MLINZI KWA NDUGU ZETU HAO.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.