MBEYA CITY YACHEZEA KICHAPO KUTOKA KWA YANGA, GOLI 3-1 KATIKA UWANJA WA SOKOINE JIJINI MBEYA.

Mbeya City Vs Yanga SC
Wachezaji wa Yanga wakishangilia baada ya kupata goli lakwanza lililofungwa na Simon Msuva, katika mchezo wao wa Ligi kuu ya Vodacom Dhidi ya Mbeya City uliochezwa hapo jana Huko jijini Mbeya, Yanga ilishinda Mchezo huo kwa Jumla ya Magoli 3-1
Mbeya City Vs Yanga SC
Kocha wa Yanga akizungumza na vyombo vya Habari baada ya mtanange wa ligu kuu ya Vodacom katika uwanja wa sokoinne ambapo Yanga iliibuka kidedeaa baada ya kuidunga Mbeya City goli 3-1.
Mbeya City Vs Yanga SC
Kocha wa Mbeya City akizungumza na vyombo vya Habari baada ya mtanange wa Ligu kuu ya Vodacom katika uwanja wa sokoinne ambapo Yanga iliibuka kidedeaa baada ya kuidunga Mbeya City goli 3-1.
Mbeya City Vs Yanga SC
Kapteni wa yanga akizungumza na vyombo vya Habari baada ya mtanange wa Ligu kuu ya Vodacom katika uwanja wa sokoinne ambapo Yanga iliibuka kidedeaa baada ya kuidunga Mbeya City goli 3-1.

BAADHI YA PICHA ZA MCHEZO HUO
Mbeya City Vs Yanga SC

Mbeya City Vs Yanga SC

Mbeya City Vs Yanga SC

Mbeya City Vs Yanga SC

Mbeya City Vs Yanga SC

Mbeya City Vs Yanga SC

Mbeya City Vs Yanga SC

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post