Rais huyo aliwaahidi gari mpya aina ya Jeep Cherokee ambayo inauzwa $76,000 za kimarekani ambazo kwa pesa za kibongo ni kama milioni 139 huku pia akiwazawadia kiasi cha fedha $25,000 sawa na milioni 45,892,500 za kibongo.
Raisi wa nchi hiyo amewaomba wawakilishi wa baadhi ya wachezaji wa timu hiyo ambao wanachezea timu za ulaya wakachukue magari hayo kwa niaba ya wachezaji hao.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.