JE.. HUYU NDIO YULE ALIESEMWA NA MADAM WEMA ANATAKA KUMUOA..? PICHA YA CHUMBANI IMEVUJA

Wema na Ommy Dimpoz
Ukiona manyoa?!!! Hatimaye zile tetesi na hisia za kwamba mwaigizaji Wema Sepetu na msanii wa muziki Ommy Dimpoz kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi zime kuwa kweli kwa zaidi ya asilimia 99, hii kutona na picha waliopiga jana usiku wakiwa bafuni huku wema akiwa amevalia taulo “flan amazing” huku kijana Ommy akionekana kwa mbaliii kama ananawa mikono.

Picha hii iliamsha watu kibao usiku wa jana hasa wale #TeamWema kindakindaki..kwani comments na likes zilivyo tiririka utazana picha imewekwa saa sita mchana, kumbe ni usiku wamamane.

Katika kipindi chake cha InMyshoes Wema sepetu alisikika akimwambia kaka meneja wake kuwa anataka kuolewa bila ya kumtaja mchumba mwenyewe, kuvuja kwa Picha hii inaashiria kabisa huyu ndio moaji kwa sasa....!!!!

Haya jamani sisi tunawatakia kila la kheri, kwani wengi wamesema hii ni #CoupleFlanAmazing.


PICHA KATIKA MAPOZI TOFAUTI::
Wema Sepetu na Ommy Dimpoz

Wema Sepetu na Ommy Dimpoz

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post