BREAKING NEWS:: MSANII WA MAIGIZO "MAMA MASHAKA" AFARIKI DUNIA A+ A- Print Email Unknown Link Author Title: BREAKING NEWS:: MSANII WA MAIGIZO "MAMA MASHAKA" AFARIKI DUNIA Author: Unknown Rating 5 of 5 Des: MSANII wa maigizo aliyewahi kuwika na kundi la Kaole Sanaa Group, Mwajuma Abdallah ‘Mama Mashaka’ amefariki dunia. Mama Mashaka amefarik... MSANII wa maigizo aliyewahi kuwika na kundi la Kaole Sanaa Group, Mwajuma Abdallah ‘Mama Mashaka’ amefariki dunia. Mama Mashaka amefariki usiku wa kuamkia leo majira ya saa tano za usiku katika Hospitali ya Amana iliyopo Ilala, jijini, Dar. Kwa habari zaidi tutaendelea kukujuza hapa. >> PAPARAZI BLOG
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.