HATIMAE OMMY DIMPOZ ASEMA NENO KUHUSIANA NA PICHA ZA KIMAHABA NA WEMA SEPETU ZILIZOTEKA MITANDAO

 Ommy Dimpoz na Wema Sepetu
Picha za msanii wa Bongo Fleva Ommy Dimpoz na Wema Sepetu zimesambaa kwenye mitandao tofauti huku mashabiki wakiwa na shauku la kujua kinachoendelea kati yao.
Picha zinamuonyesha Ommy Dimpoz amelala pembeni ya Wema na Wema akapiga Selfie bila Ommy Kujua. Je ni video, filamu au project inatengenezwa ?
 Ommy Dimpoz na Wema Sepetu
Kupitia Moja ya Akaunti ya mitandao ya kijamii ya msanii huyo amefunguka kwa kuandika maneno haya "Inzi kufa kwenye kidonda............" Bado amewaacha washabiki wengi katika mataa kwani sentensi hiyo haijaweka wazi nini alichomaaniisha msanii huyo. Kazi inabaki kuwa kwako ndugu msomaji....!!
KAMA HUJAZIONA PICHA ZAIDI ZA CHUMBANI BOFYA HAPA

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post