JANA kwenye Mashindano ya Mapinduzi Cup 2015 huko Visiwani Zanzibar Simba waliifunga JKU 1-0 na kufanikiwa kumaliza Mechi zao za Kundi C wakiwa Vinara.
Msimamo huo umeifanya Simba kutinga Robo Fainali na watacheza na Mshindi wa Nafasi ya 3 Bora wa Pili kitu ambacho hakitegemewi kwa Yanga kumaliza nafasi hiyo kwani wanatarajiwa kumaliza Kundi A kama Washindi wa Kundi lao.
Bao la ushindi la Simba lilifungwa na Ramadhan Singano katika Dakika ya 12.
Hii Leo Makundi A na B yanacheza Mechi zao za mwisho.
WASHINDI WAWILI WA JUU KILA KUNDI WATATINGA ROBO FAINALI PAMOJA NA TIMU 2 ZITAKAZOMALIZA NAFASI 2 ZA JUU KAMA WASHINDI WA 3 WA MAKUNDI.
MSIMAMO:
KUNDI A
Bao la ushindi la Simba lilifungwa na Ramadhan Singano katika Dakika ya 12.
Hii Leo Makundi A na B yanacheza Mechi zao za mwisho.
WASHINDI WAWILI WA JUU KILA KUNDI WATATINGA ROBO FAINALI PAMOJA NA TIMU 2 ZITAKAZOMALIZA NAFASI 2 ZA JUU KAMA WASHINDI WA 3 WA MAKUNDI.
MSIMAMO:
KUNDI A
NAMBA
|
TIMU
|
P
|
W
|
D
|
L
|
F
|
A
|
GD
|
PTS
|
1
|
YANGA
|
2
|
2
|
2
|
0
|
8
|
0
|
8
|
6
|
2
|
POLISI
|
2
|
2
|
1
|
1
|
1
|
3
|
-2
|
3
|
3
|
TAIFA
|
2
|
2
|
0
|
1
|
1
|
4
|
-3
|
3
|
4
|
SHABA
|
2
|
0
|
0
|
2
|
0
|
2
|
-2
|
0
|
KUNDI B
NAMBA
|
TIMU
|
P
|
W
|
D
|
L
|
F
|
A
|
GD
|
PTS
|
1
|
KCCA
|
2
|
1
|
1
|
0
|
5
|
2
|
3
|
4
|
2
|
AZAM
|
2
|
1
|
1
|
0
|
3
|
2
|
1
|
4
|
3
|
KMKM
|
2
|
0
|
1
|
1
|
0
|
1
|
-1
|
1
|
4
|
MTENDE
|
2
|
0
|
1
|
1
|
0
|
3
|
-3
|
1
|
KUNDI C
NAMBA
|
TIMU
|
P
|
W
|
D
|
L
|
F
|
A
|
GD
|
PTS
|
1
|
SIMBA
|
3
|
2
|
0
|
1
|
2
|
1
|
1
|
6
|
2
|
MTIBWA
|
3
|
1
|
2
|
0
|
2
|
1
|
1
|
5
|
3
|
JKU
|
3
|
1
|
1
|
1
|
3
|
2
|
1
|
4
|
4
|
MAFUNZO
|
3
|
0
|
2
|
2
|
0
|
3
|
-3
|
2
|
RATIBA:: Jumatano Januari 7
Robo Fainali
Simba v Mshindi wa 3 Bora Na. 2
Mshindi wa Pili Kundi B v Mtibwa Sugar
Alhamisi Januari 8
Mshindi Kundi B v Mshindi wa Pili Kundi A
Mshindi Kundi A v Mshindi wa 3 Bora Na. 1
Jumamosi Januari 10
Nusu Fainali
Mshindi RF 1 v Mshindi RF 2
Mshindi RF 3 v Mshindi RF 4
Jumanne Januari 13
Fainali
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.