BREAKING NEWS: WANANCHI WACHOMA OFISI YA MTENDAJI WA KIJIJI MTUA - NACHINGWEA

lindiyetu news
Wananchi wenye hasira wavamia ofisi ya Mtendaji wa kijiji cha Mtua Wilayani Nachingwea mkoani Lindi wataka kuwaua watuhumiwa walioko mahabusu na sasa wamechoma moto ofisi hiyo.

...........ENDELEA KUWANASI KWA TAARIFA ZAIDI.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post