Title: BREAKING NEWS: WANANCHI WACHOMA OFISI YA MTENDAJI WA KIJIJI MTUA - NACHINGWEA
Author: Unknown
Rating 5 of 5
Des:
Wananchi wenye hasira wavamia ofisi ya Mtendaji wa kijiji cha Mtua Wilayani Nachingwea mkoani Lindi wataka kuwaua watuhumiwa walioko mah...
Wananchi wenye hasira wavamia ofisi ya Mtendaji wa kijiji cha Mtua Wilayani Nachingwea mkoani Lindi wataka kuwaua watuhumiwa walioko mahabusu na sasa wamechoma moto ofisi hiyo.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.