ABIRIA WATOKAO NACHINGWEA KWENDA DAR ES SALAAM WAKWAMA ASUBUHI YA LEO

adha y lukuledi masasi
Na.Abdulaziz,Nachingwea 
Abiria wanaosafiri kutoka Nachingwea kwenda Dar kupitia masasi wakwama asubuhi hii kulikosababishwa na kukwama kwa Lori katika mpaka wa wilaya hizo eneo la (lukuledi) kutokana na matengenezo ya daraja na kulazimisha baadhi ya mabasi ikiwemo NAJMA kurudi na kupitia njia ya mzunguko hadi Ndanda kurudi Masasi..
adha y lukuledi masasi

adha y lukuledi masasi
Sehemu ya Daraja inayofanyiwa Matengenezo 
adha y lukuledi masasi
likigeuza na kurudi kwa kushindwa kupita njia hiyo............

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post