Unknown Unknown Author
Title: ANAEDAIWA KUWA MUUZA UNGA (MADAWA YA KULEVYA) AFANYIWA KITU MBAYA, ANYOFOLEWA NYETI ZAKE BAADA YA USALITI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
"Tukiwaga tunapinga madawa ya kulevya muwe mnasikia na kuelewa madhara yake..sasa ona mwisho wa siku mnadhalilishwa vibaya. Tukisema...
"Tukiwaga tunapinga madawa ya kulevya muwe mnasikia na kuelewa madhara yake..sasa ona mwisho wa siku mnadhalilishwa vibaya. Tukisema wauza unga wenyewe kwa wenyewe hawaaminiani ukigeukwa hakuna cha mmesota wote wala nini unaumizwa, hamuelewi!"
"Haya sasa ndugu yetu amewadhurumu wenzake mzigo huko South Africa, wakamshtukia kwamba kaficha check walivyomfanyia unyama huu mpaka kuondoa uume wake. Inasikitisha sana, picha nyingine ni mbaya mno... na list ya wauzaji madawa inazidi kuongezeka huko SA mmejibana wengi, yatakayowapata mtajutia.. #SayNoToDrugs "

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top