

"Haya sasa ndugu yetu amewadhurumu wenzake mzigo huko South Africa, wakamshtukia kwamba kaficha check walivyomfanyia unyama huu mpaka kuondoa uume wake. Inasikitisha sana, picha nyingine ni mbaya mno... na list ya wauzaji madawa inazidi kuongezeka huko SA mmejibana wengi, yatakayowapata mtajutia.. #SayNoToDrugs "

Tags
HABARI ZA KITAIFA