Ronaldo, ametoa wito huo kwa mashabiki wa Real Madrid kwa kuamini Bale bado ana nafasi ya kuendelea kufanya vyema na kufikia hatua ya kuwa mchezaji bora duniani.
Ronaldo amesema Bale tangu alipojiunga na Real Madrid amekua na mchango mkubwa katika kikosi cha The Meringues ambacho kwa mwaka 2014 kilitwaa mataji manne.
Amesema anakumbuka hata yeye aliposajiliwa klabuni hapo mashabiki walionyesha kumkubali na kuendelea kumpa ushirikiano mpaka amefikia hatua ya kuwa mchezaji bora wa dunia, hivyo anaamini nguvu hizo zikielekezwa kwa Bale mambo yatakua mazuri zaidi siku za usoni.
BOFYA PLAY::
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.