Carla Howe anataka kiasi cha dola za Kimarekani kisichopungua milioni moja na tayari ameanza mazungumzo na kampuni ya Vivid Entertainment kuhusu mauzo na usambazaji wa mkanda huo wa ngono.
Tmz imeripoti kuwa Carla Howe yuko kwenye mazungumzo na Steve Hirsch wa Vivid Entertainment ila tatizo kubwa ni hawataweza kusambaza au kutoa mkanda huo bila saini ya Wiz ambaye mpaka sasa hajaonyesha ushirikiano wowote.
Carla Howe alionekana kwenye filamu moja na Wiz mwaka 2012 iliyoitwa Mac + Devin Go to High School
Hizi picha walizisambaza mapema mwezi uliopita.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.