Unknown Unknown Author
Title: MCHEKI DEREVA HUYU WA BODA BODA, JE AJALI ZITAISHA?
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Dereva wa Boda boda akiwa amepenya katikati ya magari mawili bila kujali usalama wake kama aonekanavyo pichani,mara baada ya kunaswa na Ca...
Dereva wa Boda boda akiwa amepenya katikati ya magari mawili bila kujali usalama wake kama aonekanavyo pichani,mara baada ya kunaswa na Camera ya Globu ya Jamii iliyokuwa ikijivinjari mtaa wa Jamhuri,jijini Dar mapema jioni ya leo.Pichani Kulia ni dereva akitoa maneno ya kumuonya dereva huyo wa boda boda kuacha tabia ya kulazimisha kupita sehemu ambayo inahatarisha usalama wa maisha yao,lakini hata hivyo Dereva huyo wa boda boda alionekana kutojali kwa kile alichokuwa akiambiwa badala yake aliendelea na safari yake.
PICHA NA MICHUZI BLOG

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top