MCHEKI DEREVA HUYU WA BODA BODA, JE AJALI ZITAISHA?

Dereva wa Boda boda akiwa amepenya katikati ya magari mawili bila kujali usalama wake kama aonekanavyo pichani,mara baada ya kunaswa na Camera ya Globu ya Jamii iliyokuwa ikijivinjari mtaa wa Jamhuri,jijini Dar mapema jioni ya leo.Pichani Kulia ni dereva akitoa maneno ya kumuonya dereva huyo wa boda boda kuacha tabia ya kulazimisha kupita sehemu ambayo inahatarisha usalama wa maisha yao,lakini hata hivyo Dereva huyo wa boda boda alionekana kutojali kwa kile alichokuwa akiambiwa badala yake aliendelea na safari yake.
PICHA NA MICHUZI BLOG

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post