Dereva wa Boda Boda amepata ajali mbaya Mapema leo katika Eneo la Kijiji cha Dumila Mkoani Morogoro Ambapo ajali hiyo imehusisha Lori.
Marehemu huyo Ameshindwa Kufahamika baada ya kupasuka kichwa, Dereva wa Lori Ajisalimisha Katika kituo cha Polisi Dumila
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.