Unknown Unknown Author
Title: VIDEO:: CRISTIANO RONALDO AKIZINDUA SANAMU YAKE YA HESHIMA HUKO MEDEIRA URENO
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Nabii huyu hakubaliki kwao tu, Dunia nzima inamkubali na inampa heshima kubwa kwenye soka. Madeira  ni kisiwa kizuri na kikubwa ukiwa...
Cristiano Ronaldo
Nabii huyu hakubaliki kwao tu, Dunia nzima inamkubali na inampa heshima kubwa kwenye soka.
Madeira ni kisiwa kizuri na kikubwa ukiwa Ureno, lakini stori ikufikie kwamba kisiwa hicho kina umaarufu wa vitu viwili tu vikubwa; kwanza ni mvinyo, cha pili ni Cristiano Ronaldo.
Wamefanya kitu kikubwa kumuenzi staa huyo wa soka, jumapili ya December 21 kumezinduliwa sanamu kubwa la mchezaji huyo katika kisiwa hicho.
Tukio zima la uzinduzi wa sanamu hiyo hili hapa katika video.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top