
Japokuwa kwasasa ni mama wa mtoto mmoja , Uwoya amefanya kile kinaitwa siku hizi –KU-BREAK THE INTERNET, kwenye picha alizopigwa na jarida hilo.
Irene ametokelezea kwenye kurasa za mbele yani “Cover Pages” akiwa amevalia mavazi ya ufukweni ya rangi nyeusi na nyeupe, moja akiwa anatazama mbele na nyingine akitupa mgongo.
Vivazi hivyo vimefanya sehemu kubwa ya mwili wake kuonekana na watu kuweza kujionea uumbaji wa alieviumba. Pia picha zingine zimeonekana kwenye kurasa za kati za jarida hilo akiwa katikati mapozi tofauti tofauti.
Kama haujafanikiwa kuziona zicheki hapo chini . Kisha sema chochote kuhusu picha hizo.


Tags
Matangazo tz
