H.BABA Akiwa katika Kaburi la James Dandu ambaye alikuwa ni mwanziki hapa Tanzania
Tutaendelea kukumbuka milele hasa kutokana na kipaji ulichokuwa nacho enzi za uhai wako !!!!!!! Miaka kazaa imepita tokea ututoke lakini kazi zako za kimziki ulizoziacha bado zinaendelea kuwepo!!!!!!
James Dandu akiwa na Mkewe
Nakumbuka ilikuwa ni msiba mzito siku ulipotutoka baada ya kupata ajali ya gari Jijini Dar es salaam hali hiyo ilikatiza ndoto zako ulizokuwa nazo za kuendeleza mziki wa Tanzania kwa kiwango cha hali juu sana.
Mungu akupumzishe kwa amani
JAMES DANDU
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.