ZALALI, Aliyeuwawa kwa kuchomwa Kisu kifuani
Akasema siku hiyo Zalali akiwa mlangoni, Issa Mfaume alifika katika ukumbi huo na kutaka kuingia ndani ya ukumbi bila ya kulipia kiingilio na alipozuiliwa na Baunsa huyo, alichukuwa kisu na kumchoma kifuani, upande wa kushoto na kufariki papo hapo.
Kufuatia tukio hilo jeshi la polisi linafanya uchunguzi wa kutafuta watuhumiwa walioamua kujichukulia sheria mkononi licha ya marehemu kuwa mtuhumiwa, Alisema Kamanda Mzinga.
UKIUA KWA UPANGA UTAUWAWA KWA UPANGA!
ReplyDelete