BREAKING NEWS: MSANII MWINGINE AFARIKI DUNIA

side boy
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa msanii chipukizi kwenye muziki wa Bongo fleva Side Boy Amefariki dunia.
Akizungumza na Lindiyetu.com mdogo wa marehemu Ally khamisi amesema yakua kaka yao marehemu Said Salum Hemed amefia Mkoani Lindi katika hospitali ya Nyangao, alikuwa anasumbuliwa na TB YA MIFUPA.
Marehemu aliimba nyimbo ya Hujafa Hujaumbika ambayo alimshirikisha BestNaso.

********************************************
LindiYetu.com ndio mtandao wako kwa habari za burudani, Siasa, Michezo ya Africa na Nje, Tuwe pamoja huku pia >> Instagram Twitter Na Facebook

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post