Unknown Unknown Author
Title: BREAKING NEWS: MSANII MWINGINE AFARIKI DUNIA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa msanii chipukizi kwenye muziki wa Bongo fleva Side Boy Amefariki dunia. Akizungumza na Lindi...
side boy
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa msanii chipukizi kwenye muziki wa Bongo fleva Side Boy Amefariki dunia.
Akizungumza na Lindiyetu.com mdogo wa marehemu Ally khamisi amesema yakua kaka yao marehemu Said Salum Hemed amefia Mkoani Lindi katika hospitali ya Nyangao, alikuwa anasumbuliwa na TB YA MIFUPA.
Marehemu aliimba nyimbo ya Hujafa Hujaumbika ambayo alimshirikisha BestNaso.

********************************************
LindiYetu.com ndio mtandao wako kwa habari za burudani, Siasa, Michezo ya Africa na Nje, Tuwe pamoja huku pia >> Instagram Twitter Na Facebook

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top