Unknown Unknown Author
Title: TCRA YAANZA KUWASHUGHULIKIA WANAOTUMIA VIBAYA MITANDAO YA JAMII
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imeendelea kuwakumbusha wananchi kutumia njia ya mawasiliano ipasavyo ili kujijengea heshima kwa...
picha
Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imeendelea kuwakumbusha wananchi kutumia njia ya mawasiliano ipasavyo ili kujijengea heshima kwani kwa sasa hatua kali za kisheria zimeanza kuchukuliwa kwa wale wanaotumia vibaya mitandao ya kijamii.

Akizungumza na Times fm, Meneja mawasiliano wa (TCRA) Inocent Mungy amesema kuwa ipo haja kwa wasichana kujiheshimu kwani picha nyingi mbaya zinazoonekana kwenye mitandao hiyo ni zao.

Naye Mkuu wa kitengo cha masuala ya watumiaji wa mitandao Isack Mruma amesema watu wanapaswa kuelewa matumizi sahihi ya mitandao na lazima kuwe na usiri wa akaunti za mitandao ili kuweza kuepukana na matatizo ya usambazaji wa picha mbaya kwenye mitandao hiyo.

> > Timesfm web
********************************************
LindiYetu.com ndio mtandao wako kwa habari za burudani, Siasa, Michezo ya Africa na Nje, Tuwe pamoja huku pia >> Instagram Twitter Na Facebook

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top