Unknown Unknown Author
Title: SHOCKING NEWS: BUNGE LA KATIBA SASA MAHAKAMANI!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Wakati kamati zikiendelea kufanya kazi yake kwenye bunge la katiba Dodoma, bado kumekua na mvutano kuhusu bunge h i lo kuendelea au kutoend...
Wakati kamati zikiendelea kufanya kazi yake kwenye bunge la katiba Dodoma, bado kumekua na mvutano kuhusu bunge hilo kuendelea au kutoendelea kutokana na Wajumbe wa UKAWA kukosekana.
Bunge la Katiba

Wakati hayo yakiendelea kuna ripoti imetoka kwenye gazeti la Mtanzania, ikisema: bunge hilo sasa kuburuzwa Mahakamani na chama cha Wanasheria Tanganyika kikitaka Mahakama kuzuia vikao vya bunge hili kuendelea hadi muafaka wa taifa utakapopatikana ili kupata katiba bora kwa Wananchi.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top