Unknown Unknown Author
Title: ILIVYOTOKEA..NANENANE:: TIGO YAIBUKA KIDEDEA KATIKA MAONESHO YA NANENANE MKOANI LINDI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Makamu wa Rais Mohamed Gharib Bilal (kulia) akimzawadia tuzo Meneja wa  Tigo Kanda ya Kusini Bw. Daniel Mainoya pale kampuni hiyo ya...
Tigo yashinda nanenane
Makamu wa Rais Mohamed Gharib Bilal (kulia) akimzawadia tuzo Meneja wa Tigo Kanda ya Kusini Bw. Daniel Mainoya pale kampuni hiyo ya simu ilipoibuka mshindi wa nafasi ya kwanza kwa kundi la taasisi za mawasiliano katika maonesho ya Nanenane yaliyomalizika hivi karibuni mkoani Lindi.
Tigo yashinda nanenane
Mainoya na mfanyakazi mwenzake Joe wakionyesha Cheti cha ushiriki pamoja na kombe la mshindi wa nafasi ya kwanza kwa kundi la taasisi za mawasiliano katika maonesho ya Nanenane kitaifa yaliyomalizika hivi karibuni mkoani
Lindi.
Tigo yashinda nanenane
Furaha iliyoje kutoka kwa wafanyakazi wa Tigo.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top