Unknown Unknown Author
Title: WATU WANANE WAKIWEMO MADAKTARI WASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KUTOKANA NA KUTUPWA VIUNGO VYA BINADAMU KATIKA BONDE LA MBWENI MPIJI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,CP Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo wakati aki...
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,CP Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo wakati akitoa taarifa ya tukio la kukutwa kwa viunga vya binadamu liliyotokea jana jioni maeneo ya Bonde la Mbweni,Mpiji.
waandishi wa habari

Sehemu ya waandishi wa habari waliohudhulia Mkutano huo wa Kamanda Kova.
waandishi wa habari

Chini ni Taarifa Rasmi iliyotolewa leo.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top