UPDATES AJALI YA BASI LA SB:: MKUU WA MKOA WA LINDI ATEMBELEA MAJERUHI 21 HOSPITALI YA MKOA SOKOINE

Ludovick Mwananzila
Mkuu wa mkoa Ludovick Mwananzila atembelea majeruhi 21 waliolazwa Sokoine kufuatia ajali ya Basi la SB Lenye Namba za Usajili T 607 BDG lililokuwa likutoka Wilaya ya Nachingwea kwenda Jijini Dar es Salaam na Kupata ajali katika Kijiji cha Mchinga Mkoani Lindi.

Hizi ni Picha za Ajali hiyo na Matembezi ya Mkuu wa Mkoa katika Hospitali ya Sokoine.
Ludovick Mwananzila

Ludovick Mwananzila

ajali ya basi la SB mchinga lindi

ajali ya basi la SB mchinga lindi

ajali ya basi la SB mchinga lindi

ajali ya basi la SB mchinga lindi

ajali ya basi la SB mchinga lindi

ajali ya basi la SB mchinga lindi

ajali ya basi la SB mchinga lindi

ajali ya basi la SB mchinga lindi

ajali ya basi la SB mchinga lindi

KUTAZAMA VIDEO BOFYA HAPA

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post