Habari iliyotufikia hivi punde katika chumba chetu cha habari ni kwamba lori lililokuwa limebeba abiria na mizigo kwenda katika mnada wa Mhunze wilayani Kishapu mkoani Shinyanga limepinduka katika eneo la Uchunga kata ya Ukenyenge wilayani Kishapu.
Ajali hiyo imetokea asubuhi hii.
Majeruhi wamekimbizwa katika hospitali ya mkoa wa Shinyanga.
Hata hivyo bado hatujapata idadi ya majeruhi na hata watu waliopoteza maisha katika ajali hiyo.
Ajali hiyo imetokea asubuhi hii.
Majeruhi wamekimbizwa katika hospitali ya mkoa wa Shinyanga.
Hata hivyo bado hatujapata idadi ya majeruhi na hata watu waliopoteza maisha katika ajali hiyo.
ENDELEA KUWA NASI KWA HABARI ZAIDI..
KWA PICHA NA VICHEKESHO BOFYA HAPA
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.