Unknown Unknown Author
Title: BASI LA SB LAPATA AJALI KATIKA ENEO LA KIJIJI CHA MCHINGA LINDI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Basi la Kampuni ya SB lenye namba za usajiri T 607 BDG inayofanya safari zake za usafiri kutoka Dar Nachingwea leo Lapata ajali katika K...
ajali mchinga
Basi la Kampuni ya SB lenye namba za usajiri T 607 BDG inayofanya safari zake za usafiri kutoka Dar Nachingwea leo Lapata ajali katika Kijiji cha Mchinga Mkoa wa Lindi na Watu 42 wamejeruhiwa, 21 kati yao wakiwa na hali mbaya. Basi hilo la SB lilikuwa linatokea Nachingwea kwenda Dar es salaam.
ajali mchinga

ajali mchinga

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top