BASI LA SB LAPATA AJALI KATIKA ENEO LA KIJIJI CHA MCHINGA LINDI

ajali mchinga
Basi la Kampuni ya SB lenye namba za usajiri T 607 BDG inayofanya safari zake za usafiri kutoka Dar Nachingwea leo Lapata ajali katika Kijiji cha Mchinga Mkoa wa Lindi na Watu 42 wamejeruhiwa, 21 kati yao wakiwa na hali mbaya. Basi hilo la SB lilikuwa linatokea Nachingwea kwenda Dar es salaam.
ajali mchinga

ajali mchinga

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post