HAYA NDIO MASHINDANO YA HIPS KWA WANAWAKE, JIONEE MWENYEWE HAPA HATARIIIII

Ijeoma Nnaj
Ijeoma Nnaj-Mshindi
Hili ni shindano lingine tena linalo husisha wadada wenye maumbo yao.....Wadada walio Jazia Jazia huko Nigeria. Shindano hili lilifanyika usiku wa Jana katika Hotel ya Federal Palace Hotel & Casino Na mtoto Ijeoma Nnaji akitokea Kano State ndio alieibuka mshindi....ambae amejinyakulia brand new car.
MASHINDANO YA HIPS KWA WANAWAKE
Mshiriki akiwa mbele ya Majaji
MASHINDANO YA HIPS KWA WANAWAKE
Washiriki wakiwa kwenye Mapozi ya Ukodak
MASHINDANO YA HIPS KWA WANAWAKE

2 Comments

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

  1. vitu kama hivyo vinawachochea wqnawake kuvaa nguo zinazo kiuka maadili yetu havifai ni kueneza matatizo katika jamii!

    ReplyDelete
Previous Post Next Post