SOKO LA MCHIKICHINI KARUME JIJINI DAR ES SALAAM LATEKETEA KWA MOTO, JIONEE HAPA VIDEO HII

soko la karume
Soko la Mchikichini Eneo la Karume Katika Wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam Limeungua Moto Usiku wa Kuamkia Leo. Sabababu ya Moto huo hadi sasa haijafahamika. Hii ni hasara Kubwa kwa wafanyabiashara wanaotumia soko hilo katika Kujitafutia ridhiki.

Bonyeza Hapo chini Kuona Video Jinsi Soko la Karume lilivyoungua kwa Moto.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post