USHOGA WA JACKLINE WOLPER NA JOKATE KIDOTI WAPAMBA MOTO, WADAU WAUSHITUKIA..SOMA ZAID HAPA

Waoh to good for them, kama tunavyofahamu kuwa this two staaz of bongo wametokea mbali na wameweza kukaa kwenye game kwa mda mrefu, kwa wolper ki2 kilichompatia umaarufu ilikuwa ni isue concerning movies and on the part of kidoti alishawah kuwa miss tz namba 2, So kutokana na ustaa wao basi wakajikuta mastaa wawili hao wamekuwa karibu sana , kiasi ambacho some of outing zao huwa wanatokaga pamoja, so good for them n mashabiki huwa wanafurahi sana pindi wanapoona mastaa kama hvyo wakiwa wako pamoja for long tym.
>>SWAHILITZ

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post