Unknown Unknown Author
Title: SINANI NA MWAJUMA WAMEREMETA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Athuman Sinani Akiwa na Mke wake Bi Mwajuma Siyyahudin wakiwa katika Nyuso za Furaha mara baada ya kufunga Ndoa. Ndoa imefanyika kati...
Athuman Sinani Akiwa na Mke wake Bi Mwajuma Siyyahudin wakiwa katikaNyuso za Furaha mara baada ya kufunga Ndoa.
Ndoa imefanyika katika Kijiji cha Mchinga Jana tarehe 03/05/2014 Saa 7 Mchana Bw Harusi ni Fundi Umeme Pia ni Mpiga Picha Maarufu wa Abdulaziz Video Rec Ambapo Bi Harusi Ni mwalimu wa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top