SINANI NA MWAJUMA WAMEREMETA

Athuman Sinani Akiwa na Mke wake Bi Mwajuma Siyyahudin wakiwa katikaNyuso za Furaha mara baada ya kufunga Ndoa.
Ndoa imefanyika katika Kijiji cha Mchinga Jana tarehe 03/05/2014 Saa 7 Mchana Bw Harusi ni Fundi Umeme Pia ni Mpiga Picha Maarufu wa Abdulaziz Video Rec Ambapo Bi Harusi Ni mwalimu wa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post