[Mikoa ya Lindi, Morogoro( Kusini) na Mtwara]: [Mkoa wa Ruvuma]: | Hali ya Mawingu, mvua na ngurumo katika baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua. |
[Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Mara]: [Mikoa ya Singida, Iringa, Mbeya na Rukwa]: [Mikoa ya Dodoma Mara, Kigoma na Tabora]: | Hali ya Mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua |
[Mikoa ya Kagera, Mwanza na Shinyanga]: | Hali ya Mawingu kiasi na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua |
[Mikoa ya Dar es salaam, Pwani na Tanga]: [Visiwa vya Unguja na Pemba]: [Mkoa wa Morogoro( Kaskazini)]: | Hali ya Mawingu kiasi na mvua katika maeneo machache na vipindi vya jua |
TAHADHARI:
- UPEPO MKALI NA MAWIMBI MAKUBWA YANATARAJIWA KATIKA BAADHI YA MAENEO YA MWAMBAO WOTE WA PWANI (LINDI, MTWARA, TANGA, PWANI, DAR ES SALAAM PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA).
- VIPINDI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA BAADHI YA MAENEO YA MIKOA YA IRINGA, LINDI, MBEYA, MOROGORO KUSINI, MTWARA, RUKWA NA RUVUMA.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI | Kiwango cha juu cha joto | Kiwango cha chini cha joto | Mawio (Saa) | Machweo (Saa) |
ARUSHA | 27oC | 18C | 12:42 | 12:53 |
D'SALAAM | 33°C | 25°C | 12:28 | 12:46 |
DODOMA | 29°C | 20°C | 12:42 | 01:00 |
KIGOMA | 31°C | 22°C | 01:07 | 01:22 |
MBEYA | 25°C | 15°C | 12:49 | 01:11 |
MWANZA | 27°C | 17°C | 12:57 | 01:07 |
TABORA | 29°C | 19°C | 12:55 | 01:10 |
TANGA | 31°C | 23°C | 12:30 | 12:45 |
ZANZIBAR | 32°C | 23°C | 12:28 | 12:46 |
Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 40 kwa saa; kutoka Kaskazini-Mashariki kwa Pwani ya
Kaskazini na kutoka Kaskazini-Magharibi kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Makubwa.
Matazamio kwa siku ya Jumatatu: 17/02/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 15/02/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.