WASHIRIKI WA TANZANIA TOP MODEL 2013 WAINGIA KAMBINI JB BELMONT HOTEL

clip_image002[6] 
Washiriki wanaowania taji Tanzania Top model wameingia kambini leo kwa muda wa mwezi mmoja ambapo kambi hiyo imeanza katika Hotel ya JB Belmont kisha kuhamia katika hotel tofautitofauti.
clip_image002Jumla ya washiriki 20 wameingia kambini hapo wakitokea mikoa tofautitofauti ambapo ulifanyika usaili kuwapa wanamitindo hao.
clip_image003Mwandaaji wa Tanzania Top Model Jackson Kalikumtima akiongea na wanahabari
clip_image003[6]Baadhi ya washiriki wa shindano hilo wakiwa wamewasili kambini

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post