Yule kamanda anayetoa kibali kwenye spika za radio yako kwa kila mwanafamilia wa Clouds FM anayeitwa 88.5 sasa ameanza rasmi kurusha matangazo katika studio mpya ya kisasa yenye kuvutia kwa kila mtu,ina sehemu ya vinjwa na mitambo ya kisasa kabisa.
Tazama hizi baadhi za picha hapa
Tags
HABARI ZA KITAIFA