Unknown Unknown Author
Title: WATANZANIA WAJITOKEZA KWA WINGI KATIKA MKUTANO WA MWIGULU NCHEMBA DMV-MAREKANI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mhe. Naibu Katibu Mkuu CCM Mwigulu Nchemba akijibu kwa ufasaha na kwa ustadi mkubwa kabisa maswali kutoka kwa wananchi waliohudhuria Mkutano...

clip_image003Mhe. Naibu Katibu Mkuu CCM Mwigulu Nchemba akijibu kwa ufasaha na kwa ustadi mkubwa kabisa maswali kutoka kwa wananchi waliohudhuria Mkutano wa Maendeleo ya Nchi yetu uliofanyika DMV Jumapili Sept 29,2013Liz Haynes akifuatilia Mkutano kwa MakiniMh. Mwigulu akifafanua jambo katika Mkutano wake na Watanzania DMVMhe. Naibu Katibu Mkuu CCM Mwigulu Nchemba aliruhusu kila swali liulizwe na aliyajibu yote kwa ufasaha na kwa ustadi mkubwa hakuna mwananchi aliyerudi na dukuduku nyumbani. Pichani Kulia aliyeketi ni Msaidizi wa Rais Bw. Rajab LuhwaviDada Georgina Lema akiuliza Maswali yake kwa hisia kaliUmati wa watanzania waliohudhuria Mkutano wakimsikiliza Mchungaji Martulu akiuliza Maswali yake yaliyojibiwa vyema palepaleMchungaji Melchizedeki Martulu kutoka kanisa la Bethel World Outreach akiuliza MaswaliMama Cherehani akiuliza Maswali yake bila uoga kwa ujasiri mkubwaMhe. Mwigulu alikuwa na kazi kubwa ya kumjibu kila mmojaMiss Temeke akisikiliza kwa umakini mkubwa sambamba na wananchi wengineBw. Dotto aliyekuja na Jazba nzito alipewa uhuru wa kuuliza Maswali yake yote na kuridhika

Dotto alisikika akisema alikuwa amekuja kumtukana Mheshimiwa Nchemba, badala yake aliridhika sana na kumkubali Mhe. Mwigulu na kukiri kwamba alikuwa hamjui na sasa baada ya kumsikia anamuelewa kuwa ni  mtu safi, makini na Kiongozi bora kwa Taifa letu.Eliserena Kimolo naye alikuwa na maoni, maswali na hoja binafsi kwa Mgeni RasmiOfisa Ubalozi Mindi Kasiga akiwa ndani ya Mavazi ya CCM akiwa busy na simu yake wakati Mkutano wa Mhe. Naibu Katibu Mkuu CCM Mwigulu Nchemba ukiendeleaOfisa Ubalozi Suleiman Saleh naye alihudhuria, alimwagiwa sifa na Katibu Uenezi na Itikadi CCM kwa kuwa mstari wa mbele kuijali jamii ya kitanzania na watanzanio wote bila upendeleo.Hidaya Mahita naye alikuwa na machache ya kuulizaBw. Mohamed Matope akiuliza maswali yake yaliyopata majibu kama wadau wengine

ENDELEA KUNGALIA BLOG YETU TUTAWAWEKEA VIDEO YA TUKIO HILI SOON.

PICHA ZOTE NA SWAHILI TV

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top