Kampuni ya Ndanda Pure spring water ya mkoani Mtwara imefungiwa kwa muda usiojulikana.
Hii ni kutokana na kubainika kuwa maji yake yaliyopo sokoni hivi sasa ni machafu.
Akiongea na radio Pride FM ya mjini hapa, afisa afya wa mkoa amesema sampo ya maji hayo imepelekwa Dsm mamlaka ya chakula na dawa ili yafanyiwe uchunguzi kuona kama uchafu huo una athari zipi kwa mlaji na kwamba tayari ameshapeleka barua kwenye kampuni hiyo kusimamisha shughuli za kiwanda hicho.
Source: Amka Na Pride Fm
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.