Unknown Unknown Author
Title: MAJI YA NDANDA YAFUNGIWA KUZALISHWA KWA MUDA USIOJULIKANA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kampuni ya Ndanda Pure spring water ya mkoani Mtwara imefungiwa kwa muda usiojulikana. Hii ni kutokana na kubainika kuwa maji yake yaliyopo...

clip_image001Kampuni ya Ndanda Pure spring water ya mkoani Mtwara imefungiwa kwa muda usiojulikana.

Hii ni kutokana na kubainika kuwa maji yake yaliyopo sokoni hivi sasa ni machafu.

Akiongea na radio Pride FM ya mjini hapa, afisa afya wa mkoa amesema sampo ya maji hayo imepelekwa Dsm mamlaka ya chakula na dawa ili yafanyiwe uchunguzi kuona kama uchafu huo una athari zipi kwa mlaji na kwamba tayari ameshapeleka barua kwenye kampuni hiyo kusimamisha shughuli za kiwanda hicho.

Source: Amka Na Pride Fm

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top