Unknown Unknown Author
Title: “UZURI SHARTI UZURIKE” CHEKI RIHHANA ALIVYOKUWA AKIUGULIA MAUMIVU WAKATI WA UCHORAJI TATTOO
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Hapo jana mchoraji nguli wa michoro ya tattoo toka nchini New Zealand aitwaye Inia Taylor aliziweka picha zinazomuonyesha Rihanna akiwa anac...

clip_image001Hapo jana mchoraji nguli wa michoro ya tattoo toka nchini New Zealand aitwaye Inia Taylor aliziweka picha zinazomuonyesha Rihanna akiwa anachorwa tattoo za kudumu za kiasili zinazojulikana kama Maori tattoo kwenye mkono wake wa kulia.clip_image001Maori tattoo ni moja kati ya tattoo ambazo huwa zinauma sana pindi zinapokuwa zinachorwa kwenye ngozi, sababu zenyewe huwa hazitumii sindano zilizo zoeleka, aina hii ya tattoo huwa zinatumia wino maalumu na nakshi nyingine.

Tofauti na tattooo za kisasa zilizozoeleka kukaa juu ya ngozi zenyewe huwacha ngozi ikiwa na alama ya kudumu.clip_image001[6]Mcheki Rihanna akiugulia maumivu.....

Alichora tattoo hizo akiwa New Zealand baada ya kumaliza ziara yake ya kimuziki anyoizunguka Dunia.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top