AJALI YATOKEA ENEO LA SOKO KUU LINDI

clip_image002[4]Ajali hii imehusisha gari aina ya Toyota yenye namba za usajili SU 39179 gari hii imetokea muda mfupi ulio pita katika eneo la soko kuu mjini lindi,

Dereva wa gari hilo alilitumbukiza gari hilo katika moja ya Shimo la Karavati lililokuwa katikati mwa barabara ni muda mrefu shimo hilo liko wazi bila ya kufanyiwa matengenezo yoyote clip_image002Bado haijajulikana nani mwenye dhamana ya Kutengeneza barabara hii kama ni manispaa au ni Tanroad kwani kabla ya kuwepo kwa bara bara mpya inayotoka Dar es salaam kuelekea miji ya Mtwara Masasi Na Ruangwa Barabara hii ilikuwa inatumika kama Bara bara kuu.

Katika Ajali hiyo hakuna aliyejeruhiwa isipokuwa gari lenyewe tu ndio limeharibika.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post