Ikiwa ni siku kadhaa tangu Msanii Ray C kusema kuwa ameachana na dawa za kulevya na kua amebatizwa na kua mtu mwema ambaye ameachana na vitendo vya kimaovu, Lakini msanii huyo alipost Picha ya Mapaja yake katika mtandao wa kijamii wa Instagram siku tatu zilizopita ambayo ilipelekea mashabiki wake kuchukizwa na picha ya mwana dada huyo
Home
»
HABARI ZA WASANII
» RAY C NAE AANZA KUACHIA PICHA CHAFU MTANDAONI, FANS WAKE WAMSHUSHIA MINENO
About Author
JE, UNA HABARI, PICHA, TANGAZO, MAKALA NA USHAURI? USISITE KUWASILIANA NASI SIMU / WHATSAPP NAMBA 0625535420.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.