Unknown Unknown Author
Title: RAY C NAE AANZA KUACHIA PICHA CHAFU MTANDAONI, FANS WAKE WAMSHUSHIA MINENO
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Ikiwa ni siku kadhaa tangu Msanii Ray C kusema kuwa ameachana na dawa za kulevya na kua amebatizwa na kua mtu mwema ambaye ameachana na vite...

clip_image001[9]Ikiwa ni siku kadhaa tangu Msanii Ray C kusema kuwa ameachana na dawa za kulevya na kua amebatizwa na kua mtu mwema ambaye ameachana na vitendo vya kimaovu, Lakini msanii huyo alipost Picha ya Mapaja yake katika mtandao wa kijamii wa Instagram  siku tatu zilizopita ambayo ilipelekea mashabiki wake kuchukizwa na picha ya mwana dada huyo clip_image001clip_image001[7]

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top