Unknown Unknown Author
Title: PESA INAONGEA: CHEKI GARI YA YUSUPH BAKHRESA ILIYOGHARIMU DOLA 500,000
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Gari aina ya Brabus ambayo inayomilikiwa na mmiliki wa klabu ya Manchester City ya England, imeonekana leo Dar es Salaam, lakini ni mali ya ...

clip_image002Gari aina ya Brabus ambayo inayomilikiwa na mmiliki wa klabu ya Manchester City ya England, imeonekana leo Dar es Salaam, lakini ni mali ya Yussuf Bakhresa, mtoto wa bilionea Mtanzania, Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa. Vyanzo vimesema Yussuf alitoa oda maalum kutengenezewa gari hili na thamani yake jumla si chini ya dola za Kimarekani 500,000 sawa na shiingi milioni 805 za kibongo.clip_image001Hii hapa mali ya Yussuf BakhresaHuyu jamaa ndiye anayeendesha gari la hili la mtoto wa BakhresaAngalia alivyotulia ndani ya mzigo wa dola 500,000Ni oda maalum kwa ajili ya Yussuf Bakhresa Mwingine mwenye gari kama hii Dar es Salaam nani? Kutoka Manchester hadi Dar es Salaam

SOURCE: BIN ZUBEIRY

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top