HII NDIO TATOO YA MSANII DIAMOND PLATNUM ALIYEICHORA MIKONONI MWAKE

clip_image003

Hit maker wa Song ya “Nikifa Kesho”, na “Number One”  Diamond Platnumz anatarajia kuondoka leo nchini kuelekea china ambako atafanya show huko katika mji wa Guangzhou. Msanii huyo kwa sasa anamuonekano mpya katika mikono yake ambayo inaonesha Kachora tatoo Bado haijafahamika kwa ni neno gani limeandikwa katika tatoo hiyo na inamaanisha nini kwake…….

DIAMOND3

clip_image003[7]

clip_image003[9]

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post