GARET BALE NA CRISTIANO RONALDO WAPELEKA KILIO SEVILLA

clip_image002[5]Bale alifungua safari ya magoli kwa timu yake ya Real Madrid mnamo dk ya 14 huku akitupia jingine dk ya 27,Ronaldo alifunga goli la tatu dk ya 32 huku na kuifanya Madrid kuongoza kabla ya Ivan Rakitic kuifungia Sevilla goli dk ya 38 huku C. Bacca akitupia jingine dk ya 40 na kufanya matokeo kuwa 3-2 mpaka mapumziko,clip_image002Kipindi cha pili Benzema na Cr7 walitupia goli mbili kila mmoja na Ivan Rakitic akiopatia Sevilla goli la tatu dk ya 63 hivyo kuipa ushindi Madrid wa jumla ya goli 7-3.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post