Huu ni ujio mwingine mpya kutoka kwa GOSBY aka Swaghili msanii anayetoka kwenye lebo yenye vichwa vikali pale BHITS MUSIC GROUP.
Gosby hapa amekuja na wimbo wake alioupa jina la MONIFERE akiwa na maana ya NAKUPENDA na ndani ya songi hili amewashirikisha wasanii wenzake kama Vanessa Mdee pamoja na Jux.
Wimbo huu umetengenezwa na kusimamiwa na maproducer watatu, mmoja anaitwa Randy yeye makazi yake ni Nairobi ndio aliyesuka beat hili, mastering ni Hermy B na aliyesimamia mavoco pamoja na vikolombwezo vingine ni Pancho Latino... Enjoy
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.