BENZI YA MADAM RITTA WA BSS IMETEKETEA KWA MOTO

clip_image002Hii ndio Benz ya Madam Ritha iliyoteketea kwa Moto jana usiku. Hadi sasa haijafahamika chanzo cha tatizo kilichosababisha gali hilo kuungua moto..clip_image002[6]Gari hilo limeteketea kwa moto mtaa wa UDASA katika barabara ya Chuo Kikuu Jijini Dar es Salaam
Endelea kuwa nasi tutakujuza muda si mrefu

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post