Msanii 20 Percent amefiwa na baba yake mzazi Khamis Kinzasa na mazishi yafanyika leo nyumbani kwa 20 Percent saa saba mchana.
Haya ni maneno ya Afande Sele kupitia ukurasa wake facebook siku ya jana “Taarifa za kusikitisha nilizopata jioni hii nikiwa hapa Dsm, Mzee Khamis Kinzasa ambaye ni baba mzazi wa Abasi Khamis Kinzasa maaurufu kama 20% amefariki,
mazishi yatafanyika nyumbani kwake kimanzichana kesho saa saba Mchana, Pole mdogo wangu Asilimia, ndugu, wajukuu na wanafamilia wote, Mungu ampumzishe pema Baba Yetu”
Tags
HABARI ZA WASANII