BINT AVULIWA NGUO HADHARANI BAADA YA KUMKATA USONI RAFIKI YAKE KATIKA UGOMVI

clip_image001Hawa  mabinti wawili walikuwa marafiki wa damu. Inasemekana ugomvi kati yao ulitokea baada ya  mabinti  hao  kusalitiana  na  kuchukuliana  mpenzi. Chanzo kingine kinasema sio kweli kwamba walikua wakigombea mpenzi bali mtuhumiwa alimkata mwenzie usoni na kiwembe kisa alimuita mama yake kahaba.clip_image001[6]Watu walioona Mkasa huo walichukua jukumu la Kumuadhibu mwanamke aliemkata mwenzie kwa kumuamrisha kuvua nguo na kubaki mtupu lakini msichana huyo alipinga na ndipo walipo mvua nguo kwa nguvu.mgomvimgomvi.2Kwa wanaume sasa imekuwa ni kawaida kwa watuhumiwa wanao gombana au kuiba badala ya kuwafikisha katika vyombo husika vya sheria wanachukua jukumu la kuwavua nguo hadharani……

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post