MKUTANO MAALUM WA TPC WAFANYIKA MKOANI DODOMA

DSC_0134Rais wa Utpc,Kenneth Simbaya akifungua mkutano mkuu maalum wa Utpc leo katika ukumbi wa Golden Crown –DodomaDSC_0099Wajumbe wa mkutano mkuu wa UtpcDSC_0142Mdau Abdulaziz Video ambae pia ni Mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Lindi nae akihudhuria kikao hicho maalumDSC_0102Sekriterieti ya Utpc wakichukua yanayojiri katika kikao hicho muhimu kinafanya mabadiliko ya katiba ya Utpc

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post