DIDA SHAIBU (MTANGAZAJI WA KIPNIDI CHA MITIKISIKO YA PWANI TIMES FM) AOLEWA NA SASA NI MRS EZDEN JUMANNE

clip_image001Dida wa Ezden Aiwa katika vazi la shela ya harusiclip_image001[6]Maharusi wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya kufunga ndoa clip_image001[8]Bwana harusi akimchum mke wake halali wa ndoa Didaclip_image001[10]Mashallah the newly weds Mr & Mrs Ezden Jumanne.

Hongera sana Dida na Ezden tunawatakia kila la kheri katika ndoa yenu.

PICHA KWA HISANI YA http://www.jestina-george.com.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post